Katika kipindi Cha miaka 4 ya Serikali ya RAIS Samia
Maabara za kisasa ambazo zinatumika katika Shule ya Sekondari ya Philipo Mulugo iliyojengwa kupitia mradi wa SEQUIP katika Kata ya Udinde Halmashauri ya Wilaya ya Songwe.
#KurayakwanzakwaSamia
#Haijapatakutokea
Ni ujenzi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Songwe ya Dr. Samia Suluhu Hassan.
Jengo linaloonekana ni jengo la madarasa ya kisasa kabisa.
#KurayakwanzakwaSamia
#Haijapatakutokea
Kwanini Vijana wengi wa Kitanzania Wanaona Kujihusisha na Siasa ni kupoteza muda wakati hii ndiyo ungekuwa nafasi Yao kutengeneza undugu na kuongeza marafiki na kuwasaidia katika kufanikisha swala ajira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.