Recent content by Matiko manga

  1. M

    Nani anaweza mjibu kwa ufasaha maswali 3 ambayo kizazi cha Ibrahim Traore kinajiuliza ?

    Kuna tatizo la siasa safi na uongozi bora.full stop.ujanja ujanja mwiiiiingi.
  2. M

    Wakati Kenya wakiharibu nchi yao wenyewe, acha sisi tupambane na maisha

    Hao chadema unaowatuhumu ni wastaarabu Sana na ni watanzania haswaa ndo maana unaona bado taifa Lina utulivu SI wanasiaasa kama wa nchi nyingine zinazotuzunguka.pay a respect to them hata mama analijua Hilo no matter what.tusiwe tunapost vitu kichawa humu.
  3. M

    Hivi hakuna jema linalofanywa na Serikali

    Kichuri nishapiga asubuhi mapema na ugali wa muhogo.huku Tarime hatunywi chai.
  4. M

    Hivi hakuna jema linalofanywa na Serikali

    Hebu tuwe wakweli ndugu zangu watanzania, ni kweli hakuna jema linalofanywa na Serikali yetu? Mbona asilimia kubwa humu tunapenda kulaumu sana. Sijasema viongozi wetu ni malaika hapana, lakini ni kweli hakuna wanachofanya? Ni kweli wanauza nchi? Kuongoza nchi sio kama kuongoza familia. Kwenye...
  5. M

    Wale jamaa wa “ile pesa tuma kwenye namba hii” wamerudi kwa kasi

    Cku Hz wanajifanya wenye nyumba.tuma hiyo Kodi humu.
  6. M

    Alalamika Mke Wake Kukamatwa Kama "Dada Poa Ubungo". Mjamzito anyimwa dhamana

    Hivi kule ulaya na America tunakoenda kuomba wataalam na misaada ya kifedha mbona hawaangaiki na makahaba?sisi tuna maadili Sana eti?
  7. M

    SGR yetu hii ya mikopo na madeni ya milele kwa watoto wetu kukabidhiwa kwa dola la kiarabu la akina Azam, GSM, MO, Lake, Jambo HAPANA

    Mi Huwa nawaza Kwa Nini kila kitu tunawaza kumpa mtu afanye atupe kagawio ka kijinga.hivi ni kweli watanzania hatuna uwezo wa kuongoza vya kwetu?
Back
Top Bottom