Hao chadema unaowatuhumu ni wastaarabu Sana na ni watanzania haswaa ndo maana unaona bado taifa Lina utulivu SI wanasiaasa kama wa nchi nyingine zinazotuzunguka.pay a respect to them hata mama analijua Hilo no matter what.tusiwe tunapost vitu kichawa humu.
Hebu tuwe wakweli ndugu zangu watanzania, ni kweli hakuna jema linalofanywa na Serikali yetu? Mbona asilimia kubwa humu tunapenda kulaumu sana.
Sijasema viongozi wetu ni malaika hapana, lakini ni kweli hakuna wanachofanya? Ni kweli wanauza nchi?
Kuongoza nchi sio kama kuongoza familia. Kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.