Recent content by MATEO GODFREY

  1. M

    Natafuta wheeled excavator ya kukodi siku (March 9)moja Bahari beach

    Habari wadau Kuna kazi ya siku moja Bahari beach inayohitaki hiyo Excavator ya matairi kwaajiri ya kukata layer ya kifusi kilichosindilisa
  2. M

    Tairi ku collapse baada ya wheel alignment

    Nilibadirisha Wishbone inakuja na ball joints zake
  3. M

    Tairi ku collapse baada ya wheel alignment

    Nilibadirisha Wishbone inakuja na ball joints zake complete
  4. M

    Tairi ku collapse baada ya wheel alignment

    Japokuwa sio mtaalamu wa hizi mambo ila niliona kabisa kwenye screen Bado Kuna utofauti au negative camber haijaisha yote gari ilikuwa inavuta upande mmoja so nikacheck tyre pressure nikaona Kuna sehem inasoma 30 na mwengine 60 so nikajaza vizuri mbele (35) nyuma (40)
  5. M

    Tairi ku collapse baada ya wheel alignment

    Juzi nilibadirisha Wishbone, CV joints brake pads, Top mount kwenye hii Suzuki swift baada ya kupata ushauri kutoka kwa wadau WA jamii forum baada ya hapo kesho yake nikaipeleka kufanya wheel alignment kwenye servicebay ya Kituo Cha mafuta chenye jina kubwa sana pale Ununio jamaa alikuwa...
  6. M

    Bei za CV joint & Ball joint

    Gari ni Suzuki swift M13a
  7. M

    Bei za CV joint & Ball joint

    Kuna duka moja Kariakoo wanauza hivi vifaa kwa hii bei CV Joint 25,500/- kwa pisi moja na mbili 40k Ball joint 15k kwa pisi mojana mbili 30k Je ni sahihi kweli au ndio fake?
  8. M

    Kwenye Suzuki Swift nini husababisha mguu wa kushoto kupiga kelele kwenye tuta na tairi ya kushoto kugusa board

    Kuna jamaa wanajiita winners wanauza spear parts hizi kwa hii bei je ni sahihi kweli? Ball joint 15,000 kwa pisi 1 CV joint. 25,500 kwa pisi moja kwa mbili 40k Naona kama bei chini sana au ndio mdosho
  9. M

    Kwenye Suzuki Swift nini husababisha mguu wa kushoto kupiga kelele kwenye tuta na tairi ya kushoto kugusa board

    Nimekwenda garage mbili za Total (Service bays) kwaajiri ya check up Ya kwanza wameniambia kuwa nibadirishe hivi vitu Ball joint moja ya kushoto, CV joint moja na kufanya wheel Alignment Garage ya pili wameniambia Ball joint ni ya kukaza tu na CV joint hainashida Wala bearing hainashida pia So...
  10. M

    Kwenye Suzuki Swift nini husababisha mguu wa kushoto kupiga kelele kwenye tuta na tairi ya kushoto kugusa board

    Nikikata kona Tairi inasugua nilipo mark A Hapo kwenye B Kuna leakage Hapo C pans cheza cheza (Up down movement)
  11. M

    Matege ya ndani tairi za mbele -Suzuki swift

    Habari wadau ninachangamoto kwenye Suzuki swift nikipaki sehem iliyoflat kama kwenye Rami au zege tairi zinaonekana kama Zina matege ya ndani na nikikatakona tairi ya upande wakushoti inapinda kama unataka kuchomoka na tairi inakwangua Sway bar sijui ndio stabilizer na Kuta ya bodi ya gari...
  12. M

    Nimekutana na Spark plugs Denso iridium sindano elfu 10 Kila moja maeneo ya Kigamboni je hizi Zitakuwa original kweli

    Yes hapo ndio napata picha pengine ni za pikipiki maana naona hizi ni 0.4mm na gari ni Suzuki swift M13 engine naona inadai 16mm
  13. M

    Nimekutana na Spark plugs Denso iridium sindano elfu 10 Kila moja maeneo ya Kigamboni je hizi Zitakuwa original kweli

    Habari wadau Jana Nimekutana na Spark plugs Denso iridium sindano elfu 10 Kila moja maeneo ya Kigamboni je hizi Zitakuwa original kweli
Back
Top Bottom