Recent content by matatizo ye2

  1. M

    nimemuelewa Ruge 100%

    wasani wengi wana muogopa huyo ruge ambeye anadai kuwa anawainu si kweri anawafanyia dhuruma kwakua anamiliki kumbi nyingi za starehe
  2. M

    Ombi langu kwenu wana jamii, mimi kama muhanga katika tatizo hili

    naombeni msaada wenu wana jamii mimi ni mwanafunzi niliyehitimu kidato cha nne mwaka jana(2012) na kupata matokeo ambayo naamini kwa asilimia mia moja(100%) siyo yakwangu, si kwamba nimepoteza imani na uogozi wa wizara tu; bali hata mchakato mzima mpaka kupelekea aina hii ya matokeo kwangu...
Back
Top Bottom