Mwaka mbona me huu mwaka wa nne naambiwa bado mwaka juz niliambiwa machine mbovu nkasubiri mwaka mzima wa jana naenda leo naambiwa bado hakijatoka yani dah hii serikali yetu sijui kama inatambua hili ni tatzo kubwa au inafanya makusudi ok nikama tunajipga wenyewe risasi mguuni
Nida Kuna uzembe mkubwa sana huu mwaka wa nne nafuatilia kitambulisho changu kila nikifika nawambia a bado hakija toka ipo sawa hii au umekuwa deal ku print kitambulisho ndo ichukue more than four years
Kazi kweli kweli kuna jamaa alitaka bashe awe waziri wa mambo ya uchumi mwngne akasema kwa jins anavyosemwa soon atapata uwaziri naona kapata unaibu ila wa kilimo sasa bashe na kilimo WAP na WAP na mliosema wasoma....i hawapaswi gewa uwaziri nan kasema we sifia tu nasubiri chek clip za bashe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.