Recent content by matabwamatabwa

  1. M

    Kipi bora, kujiunga chuo au kidato cha tano?

    Ukilinganisha kwa mfano Dakitari, Engineer or mtalaamu yeyote ayelisoma degree baada kupata diploma ya miaka 3 anakuwa ni mzuri sana 10X kuliko huyo aliyepata Degree direct kutoka O-level, lkn kama anampango wa kusoma politics bora apitie advance lkn awe makini sana ubora wa shule atayokuwa...
  2. M

    Kufanya kazi Bandari au TRA?

    Anaweza kuonda lkn afate utaratibu wa utumishi wa umma maana moja ya taaratibu za utumishi wa umma ni kutoruhusu wafanyakaji wenye vyeo vidogo kuhama au kuomba kazi kwingine''Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa...
  3. M

    Kozi za urubani Tanzania zina gharama gani?

    ok, na kozi hizi zinazotolewa na Tanzania Aviation University College www.tauc.ac.tz Tabata Magengeni, zinatolewa gharama gani. Mwenye ufahamu naomba anisaidie?
  4. M

    Kozi za urubani Tanzania zina gharama gani?

    aksante ndugu kwa kunielimisha
  5. M

    Gharama za kozi za urubani Tanzania

    naomba mwenye ufahamu wa gharama za kozi ya urubani zinazotolewa pale United Tanzania Aeronautics College (www.utac.ac.tz) - Airport Dar es salaam . Ktk matangazo yaliyo kwenye website hawajaainisha gharama za masomo hayo.Pia je kuna vipindi vya jioni yaani evining classes, ili nikachukue...
  6. M

    Kozi za urubani Tanzania zina gharama gani?

    Naomba mwenye ufahamu wa gharama za kozi ya urubani zinazotolewa pale United Tanzania Aeronautics College (www.utac.ac.tz) - Airport Dar es salaam . Katika matangazo yaliyo kwenye website hawajaainisha gharama za masomo hayo.Pia je kuna vipindi vya jioni yaani evining classes, ili nikachukue...
Back
Top Bottom