Kwa watu makini na wenye kutambua mambo hata kwa kutumia picha na matendo hawawezi kuaminishwa kauli za usaliti wa ZZK,viongozi waseme tu hawataki mtu mwingine ashike madaraka ya juu, Lissu na wenzako Ukiona mwenzako ananyolewa?.......... shabikieni tu 2019 nanyi mtakuwa wasaliti.
Bado nataka kuamini kuna baadhi ya post zinaandikwa na viongozi wenyewe,lakini nikiwa kama mwanacdm najiuliza kwanini migogolo ndani ya chama inatokea ikifika karibu na uchaguzi wa chama? naamini mpaka mwisho wa maisha yangu Moja ya witu walioifikisha Cdm hapa kilipo ni ZZK,sasa kwa nini iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.