Potezea babu, huyo anakujaribu ili ajue kama bado unampenda au vip, atakuja kukusumbua baadae, kama vip mkubali ila muweke kwene mabano ili uone dhamira yake halisi.
kuhusu suala la ndoa ni vyema ukamshirikisha Mungu kwa maana labda atabadilika mkishaoana ila cha muhimu ni kutokubali kubeba ujauzito kabla ya ndoa takatifu, ukihitaji msaada zaid nipigie au nitumie msg kwene # 0785343853, Mungu akusaidie katika kufanya maamuz ya busara!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.