Recent content by Master_Oogway

  1. M

    Nina diploma ya Civil Engineering natafuta kazi

    Sawa nashukuru kwa maoni yako
  2. M

    Nina diploma ya Civil Engineering natafuta kazi

    Mwanangu maelezo si yapo hapo juu nimelekebisha au unayako
  3. M

    Nina diploma ya Civil Engineering natafuta kazi

    Uzoefu miaka miwili as lab_technician pale Bwala la umeme Rufiji
  4. M

    Nina diploma ya Civil Engineering natafuta kazi

    Nina experiance ya Lab_ technician pia ninauzoefu na kazi za barabarani
  5. M

    Nina diploma ya Civil Engineering natafuta kazi

    Nina uzoefu wa miaka miwili as Lab technician nimefanya Bwawa la Umeme la mwalimu Nyerere. Natafuta kazi as Civil technician Foreman Lab technician CAD technician Nipo Dar es salaam
  6. M

    Natafuta kazi Nina Diploma in Civil Engineering. Uzoefu wa miaka 2

    Natafuta kazi ndugu zangu mwenye connection ya kazi nina uzoefu wa miaka miwili Civil technician Foreman Lab technician CAD technician
  7. M

    Nina Diploma ya Civil Engineering, natafuta kazi

    Nashukuru kwa ushauri wako ila kuuliza humu JF nayo ni kufight pia coz huwezi jua anayesoma ujumbe ni mtu wa aina gani, isitoshe ni wote tunafight sana
  8. M

    Nina Diploma ya Civil Engineering, natafuta kazi

    hapana mzee malipo ni muhimu
  9. M

    Nina Diploma ya Civil Engineering, natafuta kazi

    Habari, Nina Diploma ya Civil Engineering natafuta kazi nipo Dar es salaam, naitaji kazi za site ili niweze kuwa vizuri zaidi Pia ni mtaalamu wa Autocad na Archicad pia vingi nimeandika kwenye CV yangu. Msaada mwenye connection yoyote anisaidie ili nami nipate ujuzi zaidi wa kazi
Back
Top Bottom