Recent content by master09

  1. master09

    GE2025 Humphrey Polepole: Kama ulishakuwa Spika, Waziri Mkuu, au Makamu wa Rais hutakiwi kugombea urais

    Kuchukua fomu unaweza kuchukua maana unalipia na unatunisha mfuko wa chama …..ila kupita sahau huwezi kataaa pesa za bure…..ndo maana akina mwijako kwenye ubunge wamechukua pia hakuna aliekatazwa ni pesa inaingia chamani ila kupata wasahau
  2. master09

    Je, Kanisa Katoliki hawachanganyi dini na siasa? Au wao ni untouchable!

    Hivi siasa ni nini? ......kukemea watu kupotezwa,kuuwawa na kunyanyasa wananchi ni kupiga siasa. .......basi kama kukemia ni siasa basi hazitufai TZ hizi siasa
  3. master09

    PreGE2025 Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti achafukwa, asema hadhi ya Heche ni kukamatwa na mgambo sio polisi, aahidi kumpelekea moto akigusa Kisarawe

    Hapo mwisho nimekuelewa sana .....sisi tunabaki tunaumiza na siasa tuu wengine wanateka uchumi wa nnchi kimya kimya
  4. master09

    Bodi ya Mikopo ya mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) wengi hawajapata mikopo na deadline tar 4 november 2024

    Bodi ya Mikopo ya mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) wengi hawajapata mikopo na deadline tar 4 november 2024. 1.Wengi wanapata hii msg “Your verification has been passed successfully ,regular visit your account for viewing application status “ mpaka leo hii tar 3 November 2024 jumapili kimya.Hii...
  5. master09

    Bodi ya Mikopo ya mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) wengi hawajapata mikopo na deadline tar 4 november 2024

    Bodi ya Mikopo ya mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) wengi hawajapata mikopo na deadline tar 4 november 2024. 1.Wengi wanapata hii msg “Your verification has been passed successfully ,regular visit your account for viewing application status “ mpaka leo hii tar 2 November 2024 jumamosi kimya.Hii...
  6. master09

    Bodi ya Mikopo ya mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) wengi hawajapata mikopo na deadline tar 4 november 2024

    Bodi ya Mikopo ya mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) wengi hawajapata mikopo na deadline tar 4 november 2024. 1.Wengi wanapata hii msg “Your verification has been passed successfully ,regular visit your account for viewing application status “ mpaka leo hii tar 2 November 2024 jumamosi kimya.Hii...
  7. master09

    Bodi ya Mikopo ya mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) wengi hawajapata mikopo na deadline tar 4 november 2024

    Bodi ya Mikopo ya mikopo ya Elimu ya juu (HESLB) wengi hawajapata mikopo na deadline tar 4 november 2024. 1.Wengi wanapata hii msg “Your verification has been passed successfully ,regular visit your account for viewing application status “ mpaka leo hii tar 2 November 2024 jumamosi kimya.Hii...
  8. master09

    Interview za Tanapa - Arusha

    Habari, ninamasikitiko kwa jinsi ya zoezi la interview linavyoendeshwa huko Arusha. Kuna issue ya age limit 25 kwa diploma na degree 30,mfumo wa utumishi(ajira portal) umechuja kulingwna na age labda 25 sawa sasa watoto wameitwa baada ya miezi miwili au mitatu before alikuwa 24 wakati anaomba...
  9. master09

    Morogoro Road kusimamisha magari muda mrefu

    pita bagamoyo kama unasafiri muda huu
  10. master09

    Morogoro Road kusimamisha magari muda mrefu

    askari police napita chalinze now magari yamesimishwa kibao
  11. master09

    Morogoro Road kusimamisha magari muda mrefu

    Leo Januari 28 magari yameanza kusimamishwa Ubungo intererchange. Shida sana nimepita kwa mbinde mpaka mlandizi ni foleni, magari yamesimamishwa kwa muda mrefu.
Back
Top Bottom