Vizuri sana kwa klm kuna majani yanaitwa mkunde pori
yatafuteni hayo chukua mizizi yake
safisha chemsha weka maji hata nusu lita.
Ikishapoa mpeni mtoto kijiko kidogo
asubuhi mchana na usiku
kwa muda wa siku tatu
halafu tutaambiana hapa.
Dah! Mtu unawahi kuamka alfajiri
ili kuutafuta mkate
halafu ghafla unarudi msiba!!
Mke na watoto wanajua baba akirudi jioni leo mambo safi daah inauma hii..
Kumbe ndio maana siku hizi hatusikii matukio ya uporaji wa kutumia silaha za moto?
NB: Kwa mara ya kwanza mimi kupiga kura ilikuwa mwaka 2005 na siku ya uchaguzi ndio nilimpata mtoto wangu wa kwanza,
kwa kifupi tu mimi na yeye miaka miwili hii hatuivi kabisa kapo chuo kananguruma basi kanajiona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.