Recent content by Master Legendary

  1. M

    Nchimbi anaibua Mazuri ya Serikali dhidi ya Mabaya Machache, Makonda anaibua Mabaya Mengi dhidi ya Mazuri machache kati yao nani Bingwa wa Siasa?

    Wanajamvi nimefuatilia kwa karibu Ziara zote mbili za Chama cha Mapinduzi zilizofanyika hivi karibuni,ya kwanza ni ile ya Mwenezi Mstaafu Makonda peke yake akiwa na Serikali aliyoita Back to Back na ya pili hii ya Nchimbi akiwa na Sekretarieti ya Chama. Nilichokiona Binafsi Ziara ya kwanza ya...
  2. M

    Hizi kodi zinalipika vipi jamani?

    TRA kuweni serious ! Kwenye Mshahara wangu wa mwezi nakatwa kodi na madudu mengine karibu nusu ya Mshahara kabla sijaupokea, nafungua Biashara mnataka Kodi kabla sijaanza,Mwenye Nyumba ya Biashara anataka Kodi kabla sijaingia. Mwenye Nyumba ya kuishi anataka kodi kabla sijaingia,Manispaa...
  3. M

    AIBU: Abiria wa Mwendokasi wamekwama Posta kwa sababu hakuna Umeme hawawezi kukata tiketi

    Wanajamvi, Leo tarehe 09.04.2024 muda huu wa jioni nimetoka kituo cha mwendokasi cha Posta ya zamani kumpeleka wife, nimekuta abiria wamejazana hapo eti kwasababu hakuna umeme Kituo hakiwezi kukata tiketi. Hii ni aibu kwa nchi, katika karne ya 21 watu wanakwama kusafiri kwasababu ya Umeme...
  4. M

    Mbowe: Wabunge wamejiongezea Mishahara Kutoka Tsh milioni 13 za awali na sasa wanalipwa Tsh milioni 18 kwa mwezi mbali na posho

    Habari za Mchana wanajamvi Kwanza nianze kumshukuru Dr Samiah Suluhu Hassan kwa kuniwezesha kuanzisha thread,yeye ndiyo karuhusu JF iwepo angeamua isingekuwepo. Mbili jamani Mwanadamu ni Selfish by Nature hivi inakuwaje Mbunge unajilipa Mil 18 na Maposhoposho juu huku Mwalimu analipwa Laki...
  5. M

    Nifanyeje? Huyu msichana kanifanya nishindwe kabisa kushiriki tendo la ndoa

    Daaah! Wazee kuna baadhi ya wanawake sehemu zao za siri zinatoa harufu. Najiuliza wakati nakutana naye alifichaje ile harufu bado sipati majibu Mazee. Wanajamvi nikiri nilikutana na demu nikatongoza kwa picha za Filter, nilipokutana naye nikamuona yuko tofauti kidogo ila kwasababu ya umalaya...
  6. M

    Kuna kitu sijakipenda kwenye Mazishi ya Mwinyi

    Ni kuhusu umoja wa kitaifa katika Matukio kama haya ya kitaifa. Niliona limetokea kwa Lowassa nature ikalirekebisha ila nashangaa tena kwa Mwinyi limejitokeza tena. Naona Mama anapambana sana kuhusu 4R ila wasaidizi wake inaonekana hawako tayari au bado wanaishi katika ulimwengu wa hofu. Mzee...
  7. M

    Ushauri:Baada ya Makonda kumaliza Back to Back ya kuwashambulia Watumishi aanze Back to Back ya kuelezea Mema waliyoyafanya pia.

    Nchimbi ni akili kubwa sana aliposema Watumishi wa Umma siyo maadui wa chama tafsiri yake ametumia hekima ya wazee wanaosema Mkeo akikosea anasemwa chumbani siyo hadharani,Kuku wako Manati ya nini wakati jioni anaingia Bandani. Anachokifanya Makonda kwasababu ni populist kinawezekana kikampa...
  8. M

    Tafakuri: Haya Majiko ya Gesi wanayogawa Wabunge kila kona yanatoka wapi?

    Wanajamvi sijui kama na nyie mnaona au ni mimi tu,nimekuwa nikifuatilia kwa muda sasa naona Wabunge wanagawa sana Majiko ya Gesi majimboni mwao. Ninachojiuliza ni kwamba wanaigana au wanakubaliana kuwa ndiyo zawadi nzuri au kuna maelekezo au kuna sehemu wamepata majiko hayo kwa fadhila au ni...
  9. M

    Kwenye Sheria za Uchaguzi CCM tusome alama za nyakati

    Wanajamvi actually mimi kama Mwana- CCM nimejisikia Vibaya kuona maoni mengi ya Wadau yanakuwa ni maoni yanayopiganiwa na CHADEMA. Hii kwa Great Thinkers tafsiri yake ni kwamba CHADEMA ndiyo inaonekana kubeba Agenda za Wananchi kitu ambacho siyo ishara nzuri kwa chama chetu, sisi ni Chama...
  10. M

    DOKEZO IGP Wambura tunaomba ingilia Kati hili linaloendelea kwenye hiki Kituo cha Polisi Tabata Relini

    Wapi nimesema Faini alipiga Bajaji pekee,Wewe Ziwa Jipe ni mmojawao au mfanya hayo mambo sehemu nyingine ndiyo maana unakuja mbio kuropoka kwa akili za tumbo bila kusoma mada kwa makini na kuelewa.
  11. M

    DOKEZO IGP Wambura tunaomba ingilia Kati hili linaloendelea kwenye hiki Kituo cha Polisi Tabata Relini

    Tuma timu yako kwa namna inayofaa leo tarehe 01.10.2023 wakajiridhishe namna Trafic wanavyokomoa Madereva hasa wa Bajaji katika eneo hilo. Leo nimepita Mandela Road Dar es Salaam nimeona operesheni kali madereva wa Gari wanakamatwa na wengine watu wazima wanafokewa na kujibiwa vibaya kwa...
  12. M

    Huyu mwanasiasa anapuuzwa sana

    Huyu jamaa bhana,yani ni mpigaji mnafiki ndumilakuwili mdini kigeugeu hata kama sina cha kufanya siwezi kumfuatilia kabisa
  13. M

    TUCTA ni kama imeaga Dunia, haisikiki kusaidia wafanyakazi kwa jambo lolote!

    Si kumuita tu Daktari kuthibitisha tusije tukazika kumbe kazimia? Ila kuzimia gani huku hadi hiki kishindo cha sintofahamu ya kupanda Mishahara ya Watumishi wa Umma mwezi huu ashindwe kuamka? Tushirikishane kabla ya kufanya uamuzi wa kuzika au kusafirisha.
  14. M

    Hongereni CHADEMA kwa kupata ofisi mpya

    ACT watakuwa na Agenda gani sasa na tunaelekea kwenye Uchaguzi?Agenda yao Kuu ilikuwa CHADEMA hawana Ofisi huu muda uliobaki utawatosha kweli kutafuta Agenda Mpya kuu ya kuwachanganya Wananchi?
  15. M

    Mikutano: Walianza Mbowe, Zitto na Chongolo lakini Chadema wameishiwa pumzi wamebaki ACT na CCM!

    Wafuasi wa Zitto mnateseka sana na CHADEMA, amsha waliyoipiga CHADEMA kuanzia Uzinduzi Mwanza hadi hii Operesheni Katiba Mpya hakuna Chama cha siasa hapa Tanzania kinaweza hata kuisogelea. ACT na CCM si kitu hichohicho badilisha thread uandike CCM na Mwanae wanaendeleza Mikutano ya kuishambulia...
Back
Top Bottom