Huo unafiki wao uko wapi hapo?unataka kusema kuwa hao wa huko china wanaosuburi kunyongwa ndo wa kuwaonea huruma sana kwa kubeba madawA ya kulevya,kwani walitumwa kufanya hivyo?kama ni huruma usibague wa kumuonea hurumu ndugu,cause they are all sailing in the same boat...Acha wanyongwe maana...
Kamanda Kazi habari ya kazi,mm nna shida moja kubwa ambayo inanitesa kwa muda,ni kijana umri 38,tatizo langu ni kwamba nnapofanya mapenzi kiukweli nakwenda round moja tu basi siwezi kurudi round nyingine dushelele haisimami tena labda mpaka baada hata ya msaa 12 baadae ndo inaweza kukubali tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.