Recent content by MASSOUD AHMED

  1. MASSOUD AHMED

    Tigo post paid inakera

    Hii huduma ya Tigo post paid ni kero, mawakala wanaowapa kazi waunganishe watu hawawaambii wateja vikwazo vilivyopo, wanakuunga kwa group la watu usiowajua. Akitokea mmoja hajalipa na kaacha kutumia laini mnahukumiwa nyote, is not fair na inakera sana mpka tunafkiria kuhama mtandao wao.
  2. MASSOUD AHMED

    Tigo na huduma yao ya postpaid bundle hatuitaki waiondoshe

    Hili swala la Tigo Na huduma yao ya postpaid bundle hatuitaki waiondoshe kwasababu ni kama aina flani ya kum-blackmail mtu. Imagine unaunganishwa kwa kikundi na watu hata usiowajua then asipolipa mmoja wao nyote mnazuiwa kutumia laini kweli! Wasipoangalia mitandao ipo mingi watapoteza wafuasi...
  3. MASSOUD AHMED

    Msaada: Computer yangu haitaki kuwaka na kuconnect hotspot na device nyengine

    Jamani PC yangu haitaki kuwaka na kuconnect hotspot na device nyengine.
  4. MASSOUD AHMED

    Admistrator password recovery

    Broo siko expert kiivo kwenye compter
  5. MASSOUD AHMED

    Admistrator password recovery

    HP with RADEON R5 graphics
  6. MASSOUD AHMED

    Admistrator password recovery

    Je, naweza kupata administrator password kama ameshaisahau au haijui ili isije kunipa shida kwenye kuweka window? I mean password ya BIOS
  7. MASSOUD AHMED

    PC update prob

    PC yangu haikubal kuapdate virus protection.inaload tu ila haianzi kuapdate au inahitaji network nzuri ya kutosha? Au nini shida? Ona hako kaclip hapo chini👇
  8. MASSOUD AHMED

    PC yangu inachelewa sana kuwaka

    Pc yangu inakaa sana wakati wa kuiwasha baadhi ya time shida nini?
  9. MASSOUD AHMED

    Silent/vibration on Googel pixel phone

    Ndo nnayotumia ila nilihisi labda itakuwepo pale
  10. MASSOUD AHMED

    Silent/vibration on Googel pixel phone

    Nazungumzia pale kwenye pazia apo naiona fresh na ndo ninaposet ila nataka shortcut kwenye pazia pale kama ilivo kwa data
  11. MASSOUD AHMED

    Silent/vibration on Googel pixel phone

    Nimefanya ivo ila icon ya sound sijaikuta
  12. MASSOUD AHMED

    Silent/vibration on Googel pixel phone

    Kwanini Simu za google pixel hazioneshi icon ya sauti/vibration/silent pale kwenye notification bar(pazia) au inahitaji setting?
Back
Top Bottom