Baada ya kuuza ile google nexus nilisema nitakuka tena na Simu aina ya Sony. Nina uza Simu tajwa hapo juu...ni Sony xperia S, with 12.3mp camera, 25GB internal memory, 1.5gb RAM.
Shukrani wana jf.mzigo nimeshautoa kwa mwana jf mwenzetu hapa.....ila nategemea kuja na Simu nyengine kesho aina ya sonny ninasubir aliyepewa mzigo wangu afike dar
Huyo hawezi kua jini wakweli ni picha tu ya kuchora...maaana hivo viumbe vinatisha sana... Binaadam hatuwezi kuwaona katika maumbile yao halisi, that's y hua wanajinasibisha na viumbe wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.