TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Mkuu ni suala la kumsamehe,kwa kweli hakuna uhusiano wowote!Mkuu kwani mada hii ina uhusiano gani na dini ??
Mkuu ni suala la kumsamehe,kwa kweli hakuna uhusiano wowote!Mkuu kwani mada hii ina uhusiano gani na dini ??
Teh teh teh!mkuu mbona halina mvuto?Mkuu nitafutie mmoja kama huyo sema awe mweusi kidogo na nyuma awe kafungashia....
Kivipi mkuu?Duh ishakua kesi
Mkuu hiki ni kitu halisi kabisa!wataalamu wa mambo haya wanajua!kama la kuchora vile!!!
Ni kweli mkuu,maana tunaweza kuingia kwenye malumbano ya kidini sasa hivi!Hujielewi wewe na dawa mtu kama wewe ni kupuuzwa tu
Hakuna kitu mbona mtoto ni mrembo tu!Mhhhhhhhh anqogopesha
Hapo ndiyo utakuwa umearibu kabisa,maana huo ndiyo uzuri wake!Mbona ni mzuri tu. Hapo unaenda kumkata kucha na pembe tu, unamwachia mkia na mabawa.
Nakubaliana na wewe mkuu!Mtoto mrembo kabisa huyu
Mkuu unawafugaje?Watishe hao Mzizi mkavu watishee...siie kwetu tunafuga ndio mana siogopii...
Mkuu kama hawana damu basi inawezekana siyo watamu kimapenzi,maana damu ndiyo inayotia joto kwenye 'K'!hao hawana ukimwi. labda ukawaambukize wewe binadamu. ila hata hivyo hawapati ukimwi kwa mana wao hawana damu mwilini. na wameumbwa kwa moto.
Hapo ndiyo utakuwa umearibu kabisa,maana huo ndiyo uzuri wake!
Nahisi watakuwa hawana ukimwi!Mkuu atakubari kutumia kinga?
Teh teh teh!hii kali ya mwaka,mbona wanyama huwa wananogewa na mambo haya lakini huwa hawachomani mapembe?Hizo pembe anaweza akuchome akinogewa na shughuli.
Duh!ni kweli kabisa mkuu!Kifua mashallah
hao hawana ukimwi. labda ukawaambukize wewe binadamu. ila hata hivyo hawapati ukimwi kwa mana wao hawana damu mwilini. na wameumbwa kwa moto.