Recent content by Masoud06

  1. Masoud06

    Je! watanzania wako tayari kupokea mabadiliko ya kutafuta nyumba za kupanga kupitia Webs au Apps zilizosajiliwa kisheria zinazowaondoa madalali ?

    Ukiangalia vizuri matumizi ya WhatsApp,X,inst Or YouTube ni platform ambazo ni bure but creator wananufaika kw a kadiri ya wingi wa matumizi ya watu kujiunga na platform hivyo hupata faida kw a matangazo nk so kunufaika ni kadiri watuamini wanavyokuwa wengi kwenye platform na utangazaji wa...
  2. Masoud06

    Je! watanzania wako tayari kupokea mabadiliko ya kutafuta nyumba za kupanga kupitia Webs au Apps zilizosajiliwa kisheria zinazowaondoa madalali ?

    Je! watanzania wako tayari kupokea mabadiliko ya kutafuta nyumba za kupanga kupitia Webs au Apps zilizosajiliwa kisheria zinazowaondoa madalali ?
  3. Masoud06

    Madalali ndio chanzo cha mifumuko ya bei kila sekta hususani nyumba za kupanga

    Hapa kuna haja ya watanzania kutafuta suluhu ya moja kwa moja hasa kwa kutumia bunifu zaidi kama nchi zilizoendelea, udalali sio sana kama tinavyodhani. Mfano mtu akitaka kutafuta nyimba ya kupanga anaingia kwenye website au Apps zinazoaminika kisheria anapanga bila dalali yaani yeye na mwenye...
Back
Top Bottom