Dr. Slaa akikabidhi fomu kwa Mwenyekiti Mbowe
Karatu wakiridhia Dr. Slaa awe mgombea Urais.
People's Power! Wana wa Karatu wakiwa wamehamasika.
Nyomi kisawasawa uwanja wa Bwawani. (Nimeunganisha picha mbili)
Msafara wa Rais Ajae, Dr Slaa, ukitoka uwanja wa ndege Arusha, Burka kuelekea Karatu.
Walipofika Makuyuni magari tokea Karatu yaliongezeka kwenye msafara.
Walitanda barabarani kumlaki akiingia Karatu.
Alisimamishwa mara kwa mara na wananchi wakitaka kumpa mkono wa pongezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.