Mkutano utakuwa wa kuwakaribisha wamasai uchwara toka sehemu za arusha hasa mkoa wa Manyara waliofadhiliwa na Ole sendeka na ccm yake kuja dar kummalisa EL .Mungu yuko nasi hata ieweje wamechelewa kwa hizo propaganda
Sio uhamisho tu hata uteuzi wa bodi mbalimbali umekwama ili waeendelee kuchota fedha wafanyakazi sasa hivi wa baadhi ya mashirika ya umma wamepigiga kisa msaada kwa ccm
Kama ni ukweli basi Ni wakati sahihi wa kufuta hivi vyama au kuvitosa na tuchague mgombea binafsi kila hatua,
Hivi wanadhani bila kuwa uongozini watakufa? Hili ndilo tatizo la kuwa VIHIYO wameona hawawezi kuendelea ktk ajira kwa uvivu wa kujielimisha wakakimbilia siasa KUIFANYA AJIRA YA KUDUMU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.