polisi walipokuja ilikuaje wakaachia hawa jamaa na marungu na mipini wakakimbia na wakati walikua bado hawajasambaa na kuna gari mbili ziliwajaza hawa jamaa voxy na vx zilipita mbele yao??
nikiwa ofisini karibu na kitu cha mafuta cha oryx clock tower nimesikia milio ya risasi waliokuwepo ni mbunge lema na wafusi wa ccm,watu hawa wa ccm walikua na marungu, kama kuna mwenye taarifa zaidi atusaidie!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.