Recent content by Mashamba

  1. Mashamba

    TUNDU LISSU: Kuporwa kwa mafao ya Wafanyakazi ni dhambi ya Bunge au tunalishwa matango pori?

    Andiko moja lenye kutoa ufahamu wa hali ya juu kabisa kuhusu kadhia ya mafao na kudhulumiwa kwa watumishi wa nchi hii. Asante @TL endelea kutupa darasa kadiri upatapo muda. Mungu akupe afya njema.
  2. Mashamba

    Wasomi 1,500 wa Vyuo Vikuu wajiunga CCM

    wenyewe kina Zenda kazi hawana, baada ya kazi yake ya awali ya udalali wa dada zetu kwa wabunge na mawaziri pale udom saiv anajipitisha tu na takwimu za kupika ili mkono uende kinywani.
  3. Mashamba

    Jerry Muro: Tundu Lissu njoo uone

    Tumbo linapotumika kufikiria badala ya kichwa lazima utoke ushuzi tu badala great ideas, endelea kupigania tumbo mdogo wetu muro.
  4. Mashamba

    Mil 10 kwa siku kuna harufu ya ufisadi na upigaji

    Hata kama wamepiga Robo Tatu the gharama halisi, hatujali as long as our Kamanda is back. Mtaandika sana mwaka huu
  5. Mashamba

    Mto Ruvuvu/Nyabarongo Modus operandi kwa mto Ruvu

    mbona mapovu bandugu? Nani kayahusisha na vyama na kama kuna uhusiano wa sihasa na haya matukio tupe taarifa rasmi ili nasi tuwe nazo. Ila ukweli utabaki pale pale approach hii ilitumika kule na pia kwa taarifa za chinichini wale ni mentor wetu saivi so tutashudia mengi mno, yangu macho .
  6. Mashamba

    Mto Ruvuvu/Nyabarongo Modus operandi kwa mto Ruvu

    Hali si njema tena. Kwa wanaoufahamu vyema mto Kagera umeundwa na iyo mito miwili tajwa juu. Miaka ya nyuma kidogo wakati wa mauaji ya kimbari na miaka iliyofata hii mito imegubikwa na kutupwa sana kwa miili ya watu wanaouwawa kwa sababu mbalimbali Bujumbura na Kigali na kubebwa na maji hadi...
  7. Mashamba

    Mzee Makamba: Rais Magufuli Amefanana na Yohana Mbatizaji.

    hatuwezi mfananisha Yohana mbatizaji na vitu vya kishenzi hivi, ebu ukae utafte mfano mwingine.
  8. Mashamba

    CRDB ni Jipu jingine linahitaji kutumbuliwa!

    Mtandao wao wa ATM nadhani ndio unavunja rekodi za ubovu hapa Afrika mashariki, kuna siku walizingua Mpwapwa zikawa hazina kitu, nkasafiri mpaka dodoma mjini ishu ikawa palepale,lakini nimekuja kushangaa hata jioni unakuta ATM hazina huduma na wafanyakazi wao bila aibu wanaondoka kazini sijui...
  9. Mashamba

    Yaliyojiri StarTv: Mahojiano Maalum ya Dr. Slaa na Star TV - Tarehe 4 Septemba, 2015

    Binti mkubwa Dr Slaa aka Dr Mihogo alihitimu UDOM kama 2012 basi 2013 , so kimahesabu huyu mzee alitumia kanisa tu kumpa elimu bure na maisha afu akaruka dirishani akaendelea na mambo yake, anahitaji uponyaji huyu.
  10. Mashamba

    ITV huu sasa ni upendeleo wa wazi wazi kwenye habari zenu

    Star Tv ndio wamekua biased kabisa hawana taarifa za ya za ccm na juzi baada ya taarifa ya habari walichemka sana kuweka sauti ya mwalimu Nyerere na edited pictures, nategemea rungu la #TCRA liwapitie kwa hili.
  11. Mashamba

    Unakumbuka semina Elekezi?

    Itakua alikuja kuyasahau kutokana na haraka ya kwenda kujitambulisha nchi za ulaya na amerika mkuu
  12. Mashamba

    Unakumbuka semina Elekezi?

    So hapa tunafunga maesabu sasa , tatizo walikua mawaziri tu au hata ngazi za juu?
  13. Mashamba

    Unakumbuka semina Elekezi?

    Wadau wa jukwaa, wasalaaam. Hiki ni kipindi cha lala salama kwa utawala wa JK na sio vibaya tukiangalia moja ya mbinu aliyoanza nayo, kulifanyika semina elekezi kwa ngazi nyingi za juu pale Ngurdoto hotel.Katika kujadili hili tuangalie ufanisi na changamoto zilizojitokeza katika utawala wake na...
Back
Top Bottom