SERIKALI KUTOA SIKU MAALUMU YA ELIMU KwA UMMA ILI KUPINGUZA UMASKINI NA UVIVU WA KUFIKIRI hii ni kutokana na watu wengi mitazamo yao ipo nyuma na huwa inategemea serikali iwape feza badala ya kutambua kwamba jukumu la serikali ni kuhakikisha upatikanaji wa huduma za kijamii na ulizinzi ila suala...
UMUHIMU WA KUENEA KWA ELIMU MAALUM YA LUGHA ZA ISHARA NA ALAMA
1) Itasaidia ongezeko la wataalam ; hii ni pale tunaelimisha zaidi kuwa kila mtu ana haki ya kupata elimu. Elimu maalum kwa ajili ya wasio ona,wasio sikia, Autism, na watu wengine wenye mahitaji maalumu hawa huwa na uwezo mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.