Recent content by Masauni

  1. M

    GE2020 CHADEMA kufungua kesi kwa ajili ya kumtafuta aliyesaini Barua ya NEC inayohusu majina ya Viti Maalum

    CHADEMA wamekosea sana kusema wanaend mahakamani. Wanajua kabisa Mahakama sasa hivi sio huru. Mahakama hizi za CCM zitawageuzia kibao na itakuwa imekula kwao. Mark my words
  2. M

    Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

    Huyu dada akijua kutafakari vizuri, ni bora arudi na kuomba samahani! Inauma sana amejenga jina sana lakini anakuja kupoteza jina na heshima yake kwa sababu ya vipande 30 vya fedha!!!! So sad
  3. M

    Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

    Hao wanawake wamepoteza heshima yao walioijenga for years!. Na wengi bado ni Vijana bado. Wakijua kucheza vizuri karata zao katika siasa ni kurudi na kuomba Msamaha. Heshima yao itarudi ingawaje itachukua muda kidogo
  4. M

    Jimbo la Tigray Ethiopia limeonesha ubaya wa utawala wa majimbo Tanzania

    Du! Maskini hujui kwanini Tigray inapigana na central governement. Wewe unadhani ni majimbo. Ndugu jiongeze
  5. M

    Askofu Mwamakula: Tundu Lissu aomba hifadhi Ubalozi wa Ujerumani baada ya vitisho vya uhai wake

    Nadhani wewe uelewi. Any assassination attemp akiwa mgombea uraisi impact yake ingekuwa kubwa sana kulinganisha na sasa hivi ambapo sio mgombea uraisi ! Think big my brother
  6. M

    GE2020 Jumuiya za Madola ziheshimu maamuzi yetu watanzania

    Why generalization??!! Uhitaji akili kuelewa kuwa kulikuwa kuna serious irregularities. Natamani tupigwe spana sana
  7. M

    UK statement following the Presidential Elections in Tanzania

    Ngoja spana zianze ndo utajua uchaguzi ulikwa wa haki ama la!
  8. M

    Huu ndio Mtihani kwa ACT-Wazalendo: Kukubali maridhiano na kuunda Serikali

    Wewe uwa unajifanya una mawazo mazuri lakini umejaa pumba
  9. M

    Mfumo wa Mishahara Mwisho wa Mwezi Umepitwa na Wakati Serikali Ijipime!!

    Leo umeongea point!! hayo ndo mawazo tunayataka kutoka kwa ninyi kaka zetu si ushabiki tu wa ccm
  10. M

    SERIKALI: Hatimaye Yathibitika Kuwa ni Kweli Serikali na CCM Walishaagiza Polisi Kupiga na Kuua Raia

    Ndugu wana watanzania, ninaomba niseme machache kuusiana na kinachoendela Tanzania. Ni ukweli usiopingika kwamba CCM inajua kabisa mwaka 2015, uwezekano wa kushindwa ni mkubwa sana, nasema tena sana. CCM wanachotaka ni kitu kinaitwa NGOJA TUKOSE WOTE. CCM wanafanya hivyo kwa sababu wanajua...
  11. M

    Mbunge Joseph Mbilinyi (Sugu) ashikiliwa na Polisi Dodoma!

    Na mimi naongeza kwamba huyo waziri Mkuu wenu ni MPUMBAVU NA MJINGA. NJOONI MNIKAMATE BASI!!
  12. M

    PICHA: mkutano wa baraza la UVCCM mkoani Arusha , watembelea Hospitali ya Mount Meru kutoa misaada

    Kuendea kuwa mwana CCM karne hii unahitaji kuwa na roho nyeusi, ngumu, ya kishetani na kama ya paka hivi .
  13. M

    After big win, Obama looks ahead

    Amefanya mazuri kwa kutetea ushoga,umalaya, utoaji mimba.Nawambieni kweli waliompigia Obama ni watu wasio mcha Mungu, watakatifu wasingeweza kufanya upumbavu wa kupiga kura kwa huyo agent wa shetani!! hii inaonyesha jinsi gani ulimwengu unapenda uovu kuliko kupenda kweli ya Mungu.
  14. M

    A Jewish Boycott

    Mimi kwa kweli ndo hapo na choka kabisa. hivi sisi waislamu tunapofanya violance kwa jina la allah, tunakuwa sahihi kweli? Tumefanya fujo mbangala, lakini wenzetu hawajalipa kisasi!!! Najiuliza mwenyewe nani kweli anaye muabudu Mungu wa kweli? anayefanya fujo,anazuia wanawake wasiende shule...
  15. M

    A Jewish Boycott

    Wewe unatakakubisha tu kwa sababu ni mwislamu wenzangu, Mimi sipendi mabishano ya kijinga eti kwa sababu ni mwislamu. This people (Jews) are talented wanafanya vitu extraordinary, ulimwengu unajua. mtoa mada ametoa facts. Si kwamba hakuna waislamu waliofanya vitu pia, lakini you cannot compare...
Back
Top Bottom