Kwa kuanzia tu, kipenzi cha watu sio mtu apatae kura zaidi ya 80% na baada ya miaka mitano tu zinashuka mpaka 60%, mfana rahisi tu, kama ni darasani ni sawa na mtoto kushuka kielimu toka A+ mpaka B, halafu kumuita kijana wa kidato cha sita mtoto ni makosa, huyu atatuongezea kura kwa Dr. Slaa...