NARUDIA TENA Kitu pekee ambacho Mwanza wanaizidi Dodoma ni idadi ya watu (Wasukuma wanazaliana sana hawanaga uzazi wa mpango😀😀) lakini vigezo vingine vyote vya ubora wa Jiji kwamfano mipangomiji,miundombinu,uwekezaji ,miradi ya serikali ,maghorofa,vyuo vikuu,huduma za kijamii,mapato ya...
Nilijua tu utaleta porojo na kuzunguka zunguka tu badala ya kujibu hoja ndiomana tunakushauri nenda kabishane Facebook kwa MEMKWA wenzako wanaoendekeza ushabiki badala ya points humu ni Jamiiforums home of great thinkers😀😀😀.
Kwa kukusaidia tu ubora wa mji wowote duniani unapimwa kwa vigezo...
Wewe nenda kabishane Facebook humu ni JF tunabishana kwa facts sio ushabiki😀😀.Kama kweli umewahi kuishi Dodoma Jiji ebu tuambie hivi vigezo alafu tulinganishe na Mwanza👇👇
-Ubora wa mipangomiji
-Ubora wa miundombinu
-Mtandao wa barabara za lami
-Mapato (Halmashauri+TRA)
-Uwepo wa miradi mingi...
😀😀Upuuzi mtupu unaongea huna ujuacho zaidi ya ushabiki na stori za vijiweni.
Kwa kukusaidia tu👇👇
Dodoma ndio Jiji pekee linaloongoza kwa mipangomiji Afrika Mashariki na Kati.Mitaa michache ambayo unaweza kuiita uswahilini labda Makulu,Chadulu,Swaswa,Chang,ombe kwingine kote kumepimwa na wameweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.