Habari za wakati huu wakuu, poleni na miangaiko ya hapa na pale, kama isemavyo kichwa cha habari hapo juu ni ningependa kujua kama kuna tofauti kati ya hizo vipimo nilivyoandika hapo juu. Na kama kuna tofauti ningependa kujua ni kipi nikienda kupima kitaonyesha magonjwa yote yaliyoko mwilini...
Kwanza habari za wakati huu,
Mimi ni kijana kutoka jamii ya kimasai, wazazi wangu walinitoga masikio na kung'oa jino la chini kama mila na desturi za kabila letu. Sasa walinifanya hivyo nikiwa mdogo sana, sasa baada ya kukuwa nikaja kutambua kuwa waliniaribu sana,
.1. Je kuna uwezekano wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.