Recent content by MARYMBUVA

  1. M

    Mwakyembe aelezea suala la mabehewa feki, ajibu yaliyoandikwa Nipashe

    hta waziri anapswa kkufuata sharia. waziri kafuata sharia kushughulikia suala hilo. Wengi wetu hatujui ofisi za umma zinavyofanya kazi huwei laima ufuata sharia hata kama wewe ni waziri
  2. M

    CHADEMA kusambaratika ndani ya mwaka mmoja ujao - Wassira

    naona kama JF ni cdm tu. Mnaandika ninyi tu. Sisi tusiokuwa na chama tutaachana na JF kwani imekuwa cdm tu
  3. M

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    Kama hakuhusika alipaswa iulizwa kwa kutosikilizwa kama waziri mkuu, kwa nini alisubiri hadi aambiwe jiulize hayo ndio maamuzi magumu ,,,
  4. M

    Kutoka CUF Buguruni: Kikao na waandishi chaahirishwa, Lipumba akanusha fununu za kujiuzulu

    Nauliza pale mlimani city hat CUF walivaa flana za CDM mbona sikuwaona?
  5. M

    Kususa kwa Dk. Slaa: Mtumbwi wa kisiasa wa CHADEMA unazama?

    Hofu yangu ni hii kuwa ikiwa Cdm watapoteza uchaguzi tutakuwa na upinzani? Ebu fikirini CCM madarakani bila chama cha upinzani chanye nguvu. Kwa nini nasema kwa sababu, Cdm nilifika mahalai nikawaona wa maana sana na wakombozi wa nchi hii kutokana na jitihada zao za kupambana na ufisadi, na...
  6. M

    CCM tutakuja kulia machozi ya simba

    Hizo ndovu zimekamatwa na nai? Unawezakujaata mwenyewe Interpool
Back
Top Bottom