Dah hongera sana kwa kujinasua,ni suala ambalo serikali inapaswa ilione Kama dawa za kulevya lilivyokuwa,sekta zote zijikite katika kulimaliza kabisa,naamini Tanzania yetu inaweza,ikiamua.Mungu ibariki Tanzania
Naamini ili kuleta mabadiliko jinsia zote mbili lazima zipewe elimu ya kutosha dhidi ya ukatili wa kijinsia kwa maana baadhi ya Mila na tamaduni zinaonesha mwanaume ananguvu Sana katika maamuzi suala linalowafanya wanawake kuonekana wanyonge na kuona ukatili ni haki Yao kufanyiwa,Unakuta...
Tunawashutumu watoto wa kiume waliobadili jinsia na kuwa na tabia za kike(mashoga)lakini tunashindwa kutafiti chanzo cha wao kuwa na hiyo hali.
Naamini tukipata muda wa kufanya utafiti asilimia walau 80 ya vijana hawa ni wale waliopelekwa boarding schools utotoni mwao wazazi wakiwa busy na...
SAVE A WOMAN SAVE ALL GENERATIONS
Among 100,000 women in Tanzania 11 women have experienced gender based violence at some point in their life, According to Global 2013,35% of women worldwide have experienced either physical/sexual intimate violence in their life, never to mention children below...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.