Nakubaliana na wadau wote ambao wameutambua uvivu na kukosekana kujituma kwa vijana wengi wa kitanzania. Lakini niwahakikishieni kwamba maisha ya sasa yamebadili fikra za vijana wengi na fursa za kilimo zingeweza kusaidia kuinua kipato ha mtanzania lakini wanakosa vitu viwili,
1. Elimu ya...
Shukrani sana kaka kwa uzi huu wa ukweli. Nitalifanyia kazi hili kwa undani zaidi coz nilishaanza kujiajiri na nikasuasua kidogo lakini kwa uzi huu najua nirekebishe wapi.
Keep it up :smile-big:
Kwanza nikupongeze kwa uamuzi wa kuamua kufanya biashara.
ushauri wangu ni kwamba jaribu kudadisi kwa wauzaji wa hizo pharmacy waliotangulia ambao wana moyo na nia ya kukusaidia japo kwa mawazo. kwa msaada zaidi wasiliana na mawakala wa Msd hapo mjini wapo wengi.
Wish u all the best.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.