Recent content by marwasj

  1. marwasj

    Watanzania tujikite kwenye uzalishaji tupunguze uchuuzi na biashara za ujanja ujanja

    Nakubaliana na wadau wote ambao wameutambua uvivu na kukosekana kujituma kwa vijana wengi wa kitanzania. Lakini niwahakikishieni kwamba maisha ya sasa yamebadili fikra za vijana wengi na fursa za kilimo zingeweza kusaidia kuinua kipato ha mtanzania lakini wanakosa vitu viwili, 1. Elimu ya...
  2. marwasj

    Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    Shukrani sana kaka kwa uzi huu wa ukweli. Nitalifanyia kazi hili kwa undani zaidi coz nilishaanza kujiajiri na nikasuasua kidogo lakini kwa uzi huu najua nirekebishe wapi. Keep it up :smile-big:
  3. marwasj

    Fursa za biashara nchi ya Thailand

    Shukrani sana kaka kwa kushare na watanzania wenzako hii fursa ya kibiashara. keep it up
  4. marwasj

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Kwanza nikupongeze kwa uamuzi wa kuamua kufanya biashara. ushauri wangu ni kwamba jaribu kudadisi kwa wauzaji wa hizo pharmacy waliotangulia ambao wana moyo na nia ya kukusaidia japo kwa mawazo. kwa msaada zaidi wasiliana na mawakala wa Msd hapo mjini wapo wengi. Wish u all the best.
Back
Top Bottom