JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Natafuta mke
Salaam,
Natafuta rafiki ambaye ataenda kuwa mke wangu. Nina miaka 34, ni mkazi wa Arusha, awe na miaka kuanzia 25 mpaka 32, Mkristo, kabila lolote.
Kwa aliyetayari na mhitaji karibu PM kwa mawasiliano zaidi.
Asante.