Recent content by Martinszjr0042

  1. M

    SoC04 Athari za kiafya na kiuchumi zitokanazo na bidhaa zitakanazo na zao la tumbaku ni nyingi kuliko faida za uzalishaji; tunahitaji sera mpya kwenye hili

    Zao la tumbaku ni miongoni mwa mazao ya biashara ambayo kwa kiasi kikubwa iliaminika kwa miaka mingi kuwa na mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi. Hili sio jambo la kufichika kutokana na ukweli kuwa maeneo mengi ambayo watu huzalisha tumbaku, wengi wameamini kuwa ukuaji wao kiuchumi...
  2. M

    SoC04 Kuwepo mfumo mmoja wa kuhifadhi na kutuma taarifa za wagonjwa wanapotoka kituo kimoja cha kutolea huduma na kupewa rufaa ya kwenda kituo kingine

    Huduma za afya katika nchi yoyote hutolewa kwa kuzingatia madaraja mbalimbali ya vituo vya kutolea huduma. Hii Ina maana kuwa kuna baadhi ya magonjwa au maradhi ambayo huweza kutibiwa kwenye ngazi za msingi za utoaji wa huduma za afya kama vile zahanati na vituo vya afya huku magonjwa mengine...
Back
Top Bottom