hii inaumiza sana kuona, hili ni tukio la pili. Je, sehemu husika hawakujifunza kutoka na tukio la kwanza Mbagala? Je, kwenye sehemu nyingine ambazo zinahifadhiwa vifaa hivyo nini kifanyike isije ikatokea tana? Umakini zaidi unahitajika hapa ili kila mmoja awajibike inavyopasa.
WAHUSIKA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.