Yawezekana kuna ukweli katika taarifa hizi,
Mwnendo wa mheshimiwa kabwe na kauli zake za hadharani katika siku za karibuni zinaonyesha kuwa anamwelekeo wa kuwaacha wenzake katika chadema. Amekuwa akitumia gazeti za mwananchi kupeleka ujumbe kwa umma kwamba anataka kuhama. Hii ni maandalizi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.