katika shule ya secondary Kanoge iliyopo wilayani Nsimbo mkoani KATAVI Kuna tatizo la mwalimu wa somo la chemistry kuwatoa wanafuzi kwenye somo analofundisha akidai yeye anahitaji wanafunz atakao wafu Disha table teach mfano wanafunz WALIOPO kidato Cha nne mwaka 2024 hawafiki hata15 wengi wao...
Naomba wadau wa Jamiiforums waweze kufatilia uovu unaofanywa na mwalimu mmoja katika shule ya secondary Kanoge ambayo ipo wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi kwani katika shule hiyo kuna mwalimu wa somo la Chemistry pia ni mwalimu wa nidhamu.
Ana tabia ya kukataza wanafunzi wasisome somo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.