Tanzania ni nchi inayodondoshwa na wananchi ni vile tu lawama tumeamua kumpa Rais. Yes katiba imempa mamlaka makubwa sanaa rais lakini nchi haiwezi kuendeshwa wala kujengwa na mtu mmoja labda uwe dikteta. kwa mifumo ya kidemokrasia ni ngumu Sanaa
Wananchi wengi wamekosa accountability. Nenda...
Jibu kwangu ni hapana, kwangu naona Tanzania haihitaji katiba mpya sio kwasababu katiba ya sasa hivi ni nzuri hapana. Kuna kitu nahisi Bado hakipo sawa kwanza tujikumbushe kuwa katiba na sheria za nchi zinalindwa na wananchi pamoja na watawala kwa mtazamo wangu ukiacha muhimili wa bunge mahakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.