Shule gani nije maana jana nimeenda shule takribani nne, mburahati secondary, nikaenda kibasila secondary, tambaza na jangwani secondary zote wananiambia hawana accommodation wala msosi hivyo wakanishauri niendelee kutafuta nisichoke
Habari zenu jamani, hakika Dunia tambalabovu niukweli kwamba maisha yamenipiga nimepigika nipo chapachapa. Hivyo ninaomba kwaanaeweza kunisaidia Nipate shule yoyote ya kujitolea sitaki kulipwa hata sent chamsingi nipate chakula cha mchana tu jioni nitapiga pasi ndefu.
Mimi nimuhitimu wa chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.