Recent content by Marryrose Daniel

  1. M

    Natafuta shule ya kujitolea kufundisha masomo ya Hesabu na Fizikia, cha msingi nipate sehemu ya kulala na kula tu

    Tuition naitowa wap kaka angu sina vitabu wala accessories zozote yani buku kwangu nikama lupia ya mkoloni
  2. M

    Natafuta shule ya kujitolea kufundisha masomo ya Hesabu na Fizikia, cha msingi nipate sehemu ya kulala na kula tu

    Shida ni kwamba kila shule nikienda wananiambia hawana uwezo wakunipatia chakula tena cha mchana tu sitaki chai wala dina
  3. M

    Natafuta shule ya kujitolea kufundisha masomo ya Hesabu na Fizikia, cha msingi nipate sehemu ya kulala na kula tu

    Shule gani nije maana jana nimeenda shule takribani nne, mburahati secondary, nikaenda kibasila secondary, tambaza na jangwani secondary zote wananiambia hawana accommodation wala msosi hivyo wakanishauri niendelee kutafuta nisichoke
  4. M

    Natafuta shule ya kujitolea kufundisha masomo ya Hesabu na Fizikia, cha msingi nipate sehemu ya kulala na kula tu

    Habari zenu jamani, hakika Dunia tambalabovu niukweli kwamba maisha yamenipiga nimepigika nipo chapachapa. Hivyo ninaomba kwaanaeweza kunisaidia Nipate shule yoyote ya kujitolea sitaki kulipwa hata sent chamsingi nipate chakula cha mchana tu jioni nitapiga pasi ndefu. Mimi nimuhitimu wa chuo...
Back
Top Bottom