Hii nayo ni solution nzuri pia. Baada ya hapo kazi iwe ni ya usimamizi lakini wingi wa taasisi za Serikali ambazo zinashughulikia mambo yanayoendana (hasa ya miundombinu) bado naona ni tatizo na ndio coordination inapotea hapo, ndio maana nikaona wewe chini ya mwamvuli mmoja tu wa Halmashauri
Nadhani zinahitaji maboresho tu. Ugumu wa usimamizi ni kama ulivyoeleza,chemba za maji machafu ziko chini ya mamlaka ya Maji. Suala la usafi linahitaji ushiriki wa pamoja, Halmashauri na wananchi kwa Pamoja.
Imekuwa ni kawaida kuzungumzia matatizo ya Umeme na Maji nchini kila Mwaka Bila kuwa na ufumbuzi sahihi zaidi ya kaambiwa nguzo zimewekwa sehemu fulani Au mabomba yametandazwa umbali kadhaa huku tukielewa kinachotakiwa ni umeme wa uhakika (Sio wingi wa nguzo) na maji salama muda wote (Sio urefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.