muacha mumgu aitwe mumgu na ukumbuke mungu akiwa upande wetu amna atakae weza kuzuia , so wewe subiri 25 ,10 ongeza na sala ila kutunga mambo yasiyo mpendeza mungu uache pumzi uliyotumia kakupa mungu kumnenea mtu mema na sio masengenyo na alaaniwe amneneaye mwenzie mabaya
haaaa msimshuhudie mwenzio uongo maana bwana hatakuhesabia haki
kumbukeni mungu akiwa upande wa amchae mwenye mwili hatamtenda kitu
muongo alishalaaniwa kabla ===na alaniwe amneneaye mwenzie uongo
kweli ni bora kujua ukweli kuliko kuwa muuongo kumbukakweli humuweka mtu kuwa huru ,
kudhamini binadamu ndio nguzo pekee kuliko kupanda jukwaani na kuhutubia hali watu wanakufaa so alichokifanya EDO ni sahihi semeni lakini ameonyesha utu
mungu ibariki tanzania na watu wake tuepushe na gonjwa hili la kutokujali utaifa na kukawa wabinafsi tuige mfano wa kenya taifa kwanza mebngine baadaye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.