hello mimi ni Mwanamke mwenyewe umri wa miaka 26 nina tatizo hilo mdamrefu na sasa nna mtoto ingawa nilizaa kwa upasuaji sasa kwamaelezo yako naogopa inamaana siwezi kupata mtoto mwengine tena kwani imekaa kwenye njia ya kizaz na nikijamiiana na mmewangu huwa na kihisi anakigusa please naitaji...
naitwa mariam lawrence nimemaliza chuo kikuu nimesomea ualimu na nimefanya kazi ya kujitolea katika shirika la raleigh international miezi mitatu sasa nipo nyumbani naomben kazi wakuu 0764916825 my no
shikamooni wakuu mi naomba msaada wenu napenda sana nipate schoralship ya kusoma masters mwakani 2015 lakini nimefuatilia nyingi zinataka mtu aliye kuwa mzoefu na kazi si chini ya miaka miwili na me ndio namalizia degree mwaka huu nifanyaje ushauli wenu tafadhali 0764916825
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.