Recent content by margreth mabula

  1. M

    Ajira za uhamiaji zilizolalamikiwa zafutwa, mchakato kuanza upya

    Tanzania ya Leo watu kama wewe wanahitajika sana ili kuleta mabadiliko chanya katika jamii.......hongera sana Mkuu Mungu akutie nguvu katka hili la kupigania haki za wanyonge
  2. M

    Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

    nakumbuka kwenye interview niliulizwa ''workers ethics'' na moja a worker's ethics ni kuwa accountable for his/her actions, sasa mbona tujaona accountability kwenye hili, au inaweekana waliogopa kuaweka majina bayana walochakachua wkaamuakuadibu wote hadi wenye vigezo, uwazi ndo utaleta...
  3. M

    Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

    Hii nchi haitambui haki ya MTU mmoja mmoja, kwan inashindikana kuchomoa alokosea na kumweka anaestahil? wameona kuna watu wanaalama za Juu walshndwa kuwaweka kwa kua wanavigezo! Kurudia mchakato ni kutumia fedha vibaya ambazo zingeweza kufanya vitu vya maendeleo! Me nipo pamoja na wote mlopata...
  4. M

    Ajira za uhamiaji zilizolalamikiwa zafutwa, mchakato kuanza upya

    wakati mwingine watu hutamani haki itendeke, ila haki haiwezi tendeka hata cku moja haki hutendeka mbinguni tu. ningeona haki imetendeka kama wangetolewa wale wachakachuzi na kuacha walopata kwa haki kasha nafasi hizo zikajazwa na watu wenye sifa stahiki. kufuta ajira ni kumnyima haki mtoto wa...
Back
Top Bottom