Recent content by margekharmie

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

    jana niliona hiyo ajari nikitokea makambako na lupelo,jamani upendo zinakimbia sana mimi naziogopa sana,ajari zinaepukika madereva kuweni makini fikirieni roho za watu pia nguvu kazi ya taifa mnavyopoteza kwa uzembe wenu,inaumiza sana na namshukuru Mungu nilifika salama.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kama taifa tunauhurumiaje huu muda tunaoutumia kumjadili babu?

    kweli bana hoja yako inamsing sasahv watu hawawaz jambo lolote la msingi kwan akil na mawazo yote yapo kwa babu na wanoko wamesahau kaz za maendeleo wanafatilia nan kaenda kunywa kik ombe ili wamchafue kwenye jamii inayomzunguka.jamani tufikirie maisha babu yupo japo afya ni ishu ya msingi.
Back
Top Bottom