Inabidi aanze mkuu wa section,then idara,accounting officer then, Utumishi,hiyo allowed ni kabla ya accounting officer,hebu mcheki mkuu wa idara Yako uone kama kaifowadi,ukiona kafowadi jua tu ndo mabalaa ya mfumo,mara nyingi inaweza hata kuonyesha hamna request,mfumo bado unasumbua hata kwa...