1.) GRANITE
Ni mawe yaliyo katika kundi la 'igneous' ambayo hutengenezwa kwa milipuko ya volkano baada ya kupoa kwa ule uji wa 'lava'. Huwa yana mchanganyiko wa kati ya 10% - 50% 'quartz' pamoja na 50% 'feldspar' na 'silica' kidogo. Kwa kawaida granite huwa haichubuki kirahisi, hailiwi na kutu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.