Haya mambo haya yasikie tu kwa wenzio,usiombe iwe kwako, ni yanaumiza balaa.
Binafsi nimekuelewa sana na nakupa pole sana.
Cha msingi ni kumwomba Mungu akupitishe salama na akupatie aliye sahihi kwako.
Haya mambo ya mahusiano ni magumu sana,
Ni kumuomba Mungu sana kutuepusha,na hata ikitokea kuna mgogoro basi suluhisho lisiwe ni kuua ama kujiua.
Imagine watoto wadogo wananyang'anywa haki ya kuishi kwa sababu ya huu ujinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.