Recent content by mapessa

  1. M

    Muitikio hafifu wapiga kura chaguzi za ndani CHADEMA nani alaumiwe?

    Tulielezwa Chadema ina wanachama takribani milioni nane (8) ila Idadi ya wapiga kura chaguzi za ndani Chadema haifiki hata watu mia moja (100+) ipo chini ya watu 60 yaani kila Mkoa zilipofanyika chaguzi kuchagua mwenyekiti kama hajapita bila kupingwa utakuta Mwenyekiti mkoa amechaguliwa kwa...
  2. M

    Hongera Rais Samia kwa kutimiza miaka mitatu tangu uape kuwa Rais

    Yoyote anayefahamu jinsi ambavyo nchi ilikuwa inaendeshwa awamu iliyopita anajua kuwa kulikuwa na decider-in-chief mmoja tu Dhana ya collective responsibility na participatory leadership haikuwepo, kwani mamlaka ilikuwa centralized kwa mtu mmoja tu Taasisi hazikufanya kazi. Mihimili haikufanya...
  3. M

    Je, hii ndiyo nguvu ya Umma?

    ahahahahahahaha kitengo cha mawasiliano chadema ni bure kabisa hata kuwa na camera zenye hadhi imeshindikana au ruzuku aliyokula Mwenyekiti ndani yake kulikuwa na hela za camera…?
  4. M

    Je, hii ndiyo nguvu ya Umma?

    hatukatai kwenye picha upo hapo au hujajiona..?
  5. M

    Je, hii ndiyo nguvu ya Umma?

    Kama mnazo za drone mnaweza kushare za kwenu data haipingwi kwa maneno.
  6. M

    Je, hii ndiyo nguvu ya Umma?

    Maandamano yakikosa watu ujue hayana ajenda ya majority support ni ajenda za watu wachache
  7. M

    Je, hii ndiyo nguvu ya Umma?

    ushahidi wa picha huo hiyo idadi ya ukubwa kwa kuhadithiwa…!!
  8. M

    Je, hii ndiyo nguvu ya Umma?

    Kupata vichekesho kama hivi bonyeza * kisha reli # … amka usije kujikojolea kitandani.
  9. M

    Je, hii ndiyo nguvu ya Umma?

    Data hupingwa kwa data hizo ni over head photo embu tafuta aerial tuone kama kuna uongo mahali.
  10. M

    Je, hii ndiyo nguvu ya Umma?

    Kuna miungu wengi unaweza akawa pia Mungu wa wahindu, wachina na wahdazabe
  11. M

    Je, hii ndiyo nguvu ya Umma?

    Naomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya CHADEMA? Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha. Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu tuzitazame pia. Je, itakuwa ni sahihi tukisema Chadema warudi mezani kuchora ramani yao...
  12. M

    Mwanza: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA

    Tazama baadhi ya picha za juu zilivyoyachukua kwa uwazi maandamano ya chadema. Picha ya kwanza ni baada ya makundi yote kukutana na kuingia viwanja vya furahisha.
  13. M

    Abdulrahman Kinana: CHADEMA wamelipwa ruzuku kiasi cha Billion 2.7

    Siri imefichuka kupitia maridhiano Serikali iliwalipa Chadema ruzuku kiasi cha shilingi bilioni 2.7 waliyoikataa ndani ya miaka mitatu! Huku taarifa ya fedha hizo ikiwa siri ya viongozi kwa wanachama wakiendelea kuchangishwa michango ya hapa na pale. Sababu za Chadema kukaa kimya hazijabainika...
  14. M

    Rais Samia hana kigeugeu ni ubinafsi wa Chadema. 4R’s ni msimamo wake.

    Ni ubinafsi wa CHADEMA kudai kuwa maoni yao yamekataliwa dai hili si la kweli kwasababu huwezi kusema maoni yako yamekataliwa muda mfupi baada ya kuyawasilisha mbele ya kamati ya Bunge. Kazi ya kamati ilikuwa ni kupokea maoni na imetekeleza wajibu wake. Viongozi wa CHADEMA wanajua upo utaratibu...
  15. M

    Mbowe mbio za sakafuni kurejea kwenye mazungumzo

    Muda wowote kuanzia siku ya leo Freeman Mbowe atatangaza kusitishwa kwa maandamano na kurejea kwenye meza ya mazungumzo. Why..? Yapo mambo matano utafiti wa kisayansi ambao ulionyesha wazi Freeman Mbowe hatoweza kufanikiwa katika lengo lake. 1. Personal interest; Mbowe anatoa tamko la...
Back
Top Bottom