Tulielezwa Chadema ina wanachama takribani milioni nane (8) ila Idadi ya wapiga kura chaguzi za ndani Chadema haifiki hata watu mia moja (100+) ipo chini ya watu 60 yaani kila Mkoa zilipofanyika chaguzi kuchagua mwenyekiti kama hajapita bila kupingwa utakuta Mwenyekiti mkoa amechaguliwa kwa...
Yoyote anayefahamu jinsi ambavyo nchi ilikuwa inaendeshwa awamu iliyopita anajua kuwa kulikuwa na decider-in-chief mmoja tu
Dhana ya collective responsibility na participatory leadership haikuwepo, kwani mamlaka ilikuwa centralized kwa mtu mmoja tu
Taasisi hazikufanya kazi. Mihimili haikufanya...
ahahahahahahaha kitengo cha mawasiliano chadema ni bure kabisa hata kuwa na camera zenye hadhi imeshindikana au ruzuku aliyokula Mwenyekiti ndani yake kulikuwa na hela za camera…?
Naomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya CHADEMA?
Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha.
Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu tuzitazame pia.
Je, itakuwa ni sahihi tukisema Chadema warudi mezani kuchora ramani yao...
Tazama baadhi ya picha za juu zilivyoyachukua kwa uwazi maandamano ya chadema.
Picha ya kwanza ni baada ya makundi yote kukutana na kuingia viwanja vya furahisha.
Siri imefichuka kupitia maridhiano Serikali iliwalipa Chadema ruzuku kiasi cha shilingi bilioni 2.7 waliyoikataa ndani ya miaka mitatu! Huku taarifa ya fedha hizo ikiwa siri ya viongozi kwa wanachama wakiendelea kuchangishwa michango ya hapa na pale.
Sababu za Chadema kukaa kimya hazijabainika...
Ni ubinafsi wa CHADEMA kudai kuwa maoni yao yamekataliwa dai hili si la kweli kwasababu huwezi kusema maoni yako yamekataliwa muda mfupi baada ya kuyawasilisha mbele ya kamati ya Bunge. Kazi ya kamati ilikuwa ni kupokea maoni na imetekeleza wajibu wake.
Viongozi wa CHADEMA wanajua upo utaratibu...
Muda wowote kuanzia siku ya leo Freeman Mbowe atatangaza kusitishwa kwa maandamano na kurejea kwenye meza ya mazungumzo. Why..?
Yapo mambo matano utafiti wa kisayansi ambao ulionyesha wazi Freeman Mbowe hatoweza kufanikiwa katika lengo lake.
1. Personal interest; Mbowe anatoa tamko la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.