Kwenye kipande hiki cha video, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Benson Kigaila, anafichua udhaifu wa chama chake kwa jinsi walivyojaa vitisho visivyo na msingi na msimamo usio thabiti kuhusu chaguzi za Tanzania.
Kigaila anatoa vitisho vya wazi, akisisitiza kwa sauti ya kiburi kwamba uchaguzi wa...