Waislamu wana nini na polisi wetu?? Alianza Hamza sasa Saidi anataka kutuulia askari wetu tena. Au ndio mambo ya jihadi sijui haya !!!![emoji16][emoji16]
Nimehamia mkoa wa Kigoma mwezi wa pili mwaka huu. Mwanzoni umeme ulikuwa haukatiki hovyo hovyo (nadhani sababu ya ukali na utendaji wa Dr. John Pombe Magufuli. R.I.P).
Toka mwanzoni mwa mwezi huu wa nane UMEME UNAKATIKA hakuna mfano.
Tanesco hakuna taarifa yoyote wanayoitoa kwa uma wala...
HIVI TANESCO KIGOMA KUNA TATIZO GANI
Kwakweli ni jambo la kusikitisha vile nishati ya umeme ni kitendawili katika mkoa huu wa kigoma. Yaani tanesco kama hawajui wanafanya nini. Umeme unawaka nusu nusu mara siku nzima ni giza yaani tabu tupu. Leo tangu asubuhi hakuna umeme na mpaka sasa...
Huyu atakuwa wakuja. Mkuu tunaoishi arusha hii hali ni ya kawaida msimu kama huu na kuna miaka hali ni baridi kuliko hii unayoita hali mbaya ya hewa. Pole sana kama wewe umezoea joto la Dar.
Kwa nilivyosoma haraka haraka hapa nahisi kama ni wazazi wanaandika haya basi taifa lina hasara kubwa kwa kizazi kijacho.
Shule nyingi hazina mazingira rafiki kwa watoto wa umri huo wa la 4na7 kukaabweni. Hazina mabweni yenye nafasi, watoto wanarundikwa kibao wakilala wawili wawili kitanda...
Kina watu hawaelewi hii mkuu. Asante kwa kuwaelewesha mkuu. Si dhambi kuwa na ajira ila fanya kwa malengo. Kila siku jaribu kupanda ki knowledge, income na hata position na usiwe mwoga kushift ajira.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.