Mkuu Mimi Nina tatizo la Hofu iliyopitiliza yaani anxiety disorder sasa tunayaepuka vipi haya matatizo ya magonjwa ya afya ya akili . Ukinijibu hapa ni kwa faida ya wengine pia
Kumbe Sawa mkuu ......... mbali na tizi unajua mbinu gani ingine ya kucheza na saikolojia ili nijiamini vizuri
Upo sahihi mkuu.... Lakini kwa upande wangu Sio kwa sababu hizo ni kwa sababu nimekula kwa macho miaka mingi so imeniathiri kisaikolojia
Kweli mkuu nitazingatia hayo yote uliosema ... ila umeni -suprise Kwene paragraph ya mwisho .....yaaani umeongea mulemule kama unanijua vile yaani ndio hivyohivyo halafu kinachofuata ni kupanic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.