Hiyo ya utalii na dhahabu zimekaa poa ongezea na mazao ambayo nchi inaweza kuyauza nje ni vema serikal ikaongeza nguvu kusapot wazawa mfano ngozi,pemba korosho nk,kuhusu madini serikali kupitia bunge watunge sheria rasilimali zote za nchi ziuzwe nchini wanunuzi waje wanunulie uku sio unachimba...
Mkuu Forrest Gump naomba unitajie baadhi ya machimbo bora kabisa kwa mwanza na dar kwa ajili ya kumea mzigo wa kwenda kuuza reja reja dukan kwa ambao ndo Kwanza tunaanza
Mleta maada kwenye hii taarifa yako Kuna Mambo umeyaandika ukihisi una hoja nzito ila logically sio
Unaposema inchugu usigawanyike kisa misingi ya kimila ya wazee hakuna logic yyt Apo labda tu nikukumbushe
1. kata hiyo ya binagi tarafa ya inchage (magoma,Nyasaricho na nyamwigura) unayoiongelea...
Hoja yako ni nzuri ila kwenye kutumia neno mnyonge mm sikubaliani na wewe kwa sababu rais wetu hajawahi kuwa mnyonge ni mtu jasir na mwenye udhubut siku zote
Hilo ni tatizo kwa askari wetu wengi hawajui majukumu yao wamekaa tu wanasubiri rushwa ndogo ndogo ila weledi wa kazi hawana tena lugola asiishie kwa arusha tu mm ningemshauri atengeneze intelligence yake vizuri kisho aone anavyonasa wengi
Hawa watu walichokifanya kwa mzee wa watu sio kitu kizuri kabisa najaribu kuimagine mzee kama peter zakaria anakumbana na sekeseke LA vijana watano tena wenye mafunzo ya kijeshi pamoja na silaha kwa na uzee ule kwa kweli sio fair ata kidogo tuweni na huruma na damu za watu tuwe na moyo wa...
Hiyo wizara ilikosa ufanisi sioni kama mkuu kakosea kufanya uteuzi upya ukizingatia rushwa ilivyokisiri miongoni mwa idara nyingi ambazo zipo chini ya hiyo wizara tulitegemea mwigulu aendane na kasi ya mweshimiwa ila kwang mm naona kama alifeli binafsi nampongeza mkuu kwa kuliona hilo japo...
Zahara Mustafa ·
Secretary at TANESCO
Napenda Rais wetu hana kinyongo na mtu na Lowassa pia mtu mzuri sana vinyongo havitakiwi kabisa na kumpa pongezi anayefanya vizuri ni sahihi kabisa sasa kwa moyo huo Lowassa rudi kwenye chama chako cha CCM kwa moyo mmoja rudi rudi.....
Like · Reply · 6 hrs...
#HAPAKAZITU.
Like · Reply · 1 hr
Joel Rumanyika ·
ASSISTANT LECTUTER(ICT DEPT) at College of Business Education (CBE)
Mheshimiwa Lema. Siasa si uadui,jifunze kusamehe na kusahau yaliyopita.Hakuna aliyemkamilifu,ila "MUNGU TU".Badili mtazamo kidogo,wala si maanishi ujiunge na chama tawala bali...
Acheni longo longo zenu Tulishawashtukia kama ushaidi upon uwekeni humu tuuone sio lazima muupeleke kwa tulia akson jaribuni kulogic mambo kabla ya kuyashabikia huu ulofa mwingine ni wakujitakia ivi hata hukumbuki na arusha mbowe alidai ivo ivo kuwa ana ushaidi na mpaka Leo hakuutoa iweje akae...
Mwambieni mbowe atupe kwanza ushahidi wa mauaji arusha mjini kweny mkutano wa chadema asiwe anakimbilia kusema iundwe tume ya kimahakama na kama hana aache ulofa akae atulue magufuli ajenge nchi
Aliyesema wapinzan ni malofa ama kweli hakukosea ivi kweli mbowe na lisu wawe na ushahid mpaka muda huu ungekuwa bado haujasambazwa mitandaon kuverify wanachokisema? Is ni sound kama zile zile za mauwaji kule arusha mpaka Leo hii mbowe na genge lake hawajawahi kutoa ushaidi wa video waliodai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.