Recent content by Manmud

  1. M

    St.Joseph University Arusha Kwa anayejua

    yeap attendance ndo kila ki2 ktk vyuo vyao ukiwa below ya 75% ujue unachezea detain na kinachofuata ni break ya mwaka mzima nyumban
  2. M

    st. Joseph university in tanzania tukutane hapa

    inabidi uyo kijana 2msaidie apate chumba maeneo ya ruwiko karibia na chuo kaka....songea ful wali mgebuka..dogo welkame st.joseph in songea
  3. M

    st. Joseph university in tanzania tukutane hapa

    tek my namba 0719 330 430..npo 2 yrs kol me
  4. M

    Ue results sua

    sapu za kumwaga
  5. M

    St.Joseph University Arusha Kwa anayejua

    yap yap iyo campus ipo ndo nyie mliochaguliwa ktk iyo campus ndo mtakua wanafunzi wake wa awamu ya kwanza i mean nyie ndio mtakua batch namba 1 ktk iyo campus...nenda kasome kijana most all st.joseph college wanatoa best en quality education..u wil neva regret ktk ilo bt jiandae kupiga shule koz...
  6. M

    ushauri BACHELOR OF TECHNOLOGY IN ARCHITECTURE

    iyo koz ni ngumu vibaya mdogo wangu ila ina pesa za kumwaga pale utakapokua ktk ajira...if umeipenda juc go kaisome
  7. M

    St. Joseph University College of Agricultural Sciences and Technology (SJUCAST), Songea

    hongera sana kijana kwa kuchaguliwa ktk chuo che2..ila tambua wewe uliyechanguliwa food processing utaanza kusome ktk main campus iliyopo dar zen after 2 yrs ndo utakuja kumalizia huku songea....chuo kipo ruwiko,songea njia ya kuelekea airport ya mkoa wa ruvuma....me npo mwaka wa pili kaka so if...
  8. M

    Msaada

    Habari zenu wa dau wa jukwaa hili la elimu......nahitaji msaada wa haraka wa kutaka kujua ni chuo gani au taasisi gani inayotoa course mbalimbali zinazohusiana na mambo ya MISITU.......nashukuru kwa ushirikiano wenu
  9. M

    Private candidate: Ana c tatu (english na kiswahili na civics) nishaurini aende wapi?

    Aendee shule za private kusoma advanc level......ila kwa jins watu walivyofeli nina uhakika mkubwa atapata tu post ya shul za serikali kwenda kusoma na kuendelea kwa level ya advanc
  10. M

    Form Four 2012. Naombeni ushauri wana jukwaa nina result hizi....

    ushauri mzuri sana....fanya fasta kwenda kuchukua fom ktk vyuo ya technology kama DIT,MIST na Arusha....ila fahamu kwamba ktk vyuo ivyo vya technology lazima upige short koz inayoitwa pre-entry zen ukifaulu iyo koz ndo unaanza ngazi ya certifiket na diploma...tambua iyo short koz ni ngumu kuliko...
  11. M

    Boom DIT

    Dar es salaam Institute of Technology.....(D.I.T)...
  12. M

    kwa wanaojua horticulture,agronomy na agricultural general

    acha uongo wewee.....hata st.joseph kollege of Agriculture,songea wanatoa......horticulture ndo ina soko kubwa kuliko agronomy
Back
Top Bottom