yap yap iyo campus ipo ndo nyie mliochaguliwa ktk iyo campus ndo mtakua wanafunzi wake wa awamu ya kwanza i mean nyie ndio mtakua batch namba 1 ktk iyo campus...nenda kasome kijana most all st.joseph college wanatoa best en quality education..u wil neva regret ktk ilo bt jiandae kupiga shule koz...
hongera sana kijana kwa kuchaguliwa ktk chuo che2..ila tambua wewe uliyechanguliwa food processing utaanza kusome ktk main campus iliyopo dar zen after 2 yrs ndo utakuja kumalizia huku songea....chuo kipo ruwiko,songea njia ya kuelekea airport ya mkoa wa ruvuma....me npo mwaka wa pili kaka so if...
Habari zenu wa dau wa jukwaa hili la elimu......nahitaji msaada wa haraka wa kutaka kujua ni chuo gani au taasisi gani inayotoa course mbalimbali zinazohusiana na mambo ya MISITU.......nashukuru kwa ushirikiano wenu
Aendee shule za private kusoma advanc level......ila kwa jins watu walivyofeli nina uhakika mkubwa atapata tu post ya shul za serikali kwenda kusoma na kuendelea kwa level ya advanc
ushauri mzuri sana....fanya fasta kwenda kuchukua fom ktk vyuo ya technology kama DIT,MIST na Arusha....ila fahamu kwamba ktk vyuo ivyo vya technology lazima upige short koz inayoitwa pre-entry zen ukifaulu iyo koz ndo unaanza ngazi ya certifiket na diploma...tambua iyo short koz ni ngumu kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.