Recent content by Mankaa

  1. M

    Nahitaji kurudi nyumbani

    Asanteni kwa ushauri
  2. M

    Nahitaji kurudi nyumbani

    Gharama za ada wanadai watalipa wao ila mwngne kama nauli hadi chuo ni 3000per day hujaweka chakula na mengne na sijajipanga nimeshtukizwa nashindwa nifanyaje
  3. M

    Nahitaji kurudi nyumbani

    Habari zenu wapendwa, imani yangu ni kuwa mu wazima, Kuna tatizo hapa, asubuhi ya leo nimekaa najiandaa kutoka kaja binamu wa mume wangu na mabegi kuuliza eti amekuja kukaa nyumbani kwangu asome chuo. Kumuhoji kawa mkali eti mimi sina ubinadmu na mambo mengi mabaya nikasema tatizo siyo huyo...
  4. M

    Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

    Ningekuwa na pesa ningemsaidia emanuel kwa hali yyte ashinde hii kesi, lakin sina jinsi Mungu ni zaidi ya pesa acha Mungu asimame yeye!
  5. M

    Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

    Yule binti hana udogo hadi useme wa kubakwa binti anajua na kuvaa vimini na anatembea uchi leo useme a me Ba kwa? Flora aliweka mtego wakimaliza kubanjua adai kabakwa mbna huyo flora kabanduliwa na watu kibao akiwemo mzee wa hummer na emanuel akiwa anafahamu?mbna ema kavumilia yote hayo
  6. M

    Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

    Siyo askofu Kulola my dia
  7. M

    Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

    Bora mkuu umenielewa wewe
  8. M

    Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

    Ndicho hicho ninachojiuliza kama alikuwa na namna si angeachana nae tu akiwa huru? Mbna anatutia aibu HIV ?ni mangapi tunayokutana nayo kwenye ndoa makubwa na yanaisha? Tumuombee emanuel Mungu amtetee
  9. M

    Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

    Ni muda sijaingia humu ni imani mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa sijui niseme ni umbea au nn coz hata mm ninayo yangu lakini siyasemi Ishu ya ndoa ya flora mbasha na mumewe kudaiwa kubaka imenigusa sana kwa kuwa na mm ni mjukuu wa askofu labda Kama kuna yyte mwenye ukaribu na flora...
  10. M

    Kuna mkaka kanivutia humu MMU

    Habar zenu hopE mko good, okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake! Basi tukapanga kuonana ye anakaa mbali...
  11. M

    Alichonifanyia mdogo wangu naumia

    Hii meseji aliyonitumia sasa hivi sijamuuliza chochote ( Dada naomba nisamehe najua nimekuhudhi kwa namna moja ama nyingine xo sina budi kukuomba radhi kwan mm x mkamilifu nisamehe yote yaliyo tokea na tusiwekeane kinyongo kwan haya ni maisha tu
  12. M

    Alichonifanyia mdogo wangu naumia

    siwez kuongea na huyo mdogo wang kabisa kabisa
  13. M

    Alichonifanyia mdogo wangu naumia

    huyo msichana kurudi kwangu haipo nae anafahamu lakin nachofikiria ni jinsi ya yeye kujua how i feel kwa kitendo alichofanya
  14. M

    Alichonifanyia mdogo wangu naumia

    Ni wa kike wapendwa
  15. M

    Alichonifanyia mdogo wangu naumia

    Hapo nakataa kabisa hajakuwa karibu nae kiivyo nina uhakika asilimia 100
Back
Top Bottom