Gharama za ada wanadai watalipa wao ila mwngne kama nauli hadi chuo ni 3000per day hujaweka chakula na mengne na sijajipanga nimeshtukizwa nashindwa nifanyaje
Habari zenu wapendwa, imani yangu ni kuwa mu wazima,
Kuna tatizo hapa, asubuhi ya leo nimekaa najiandaa kutoka kaja binamu wa mume wangu na mabegi kuuliza eti amekuja kukaa nyumbani kwangu asome chuo.
Kumuhoji kawa mkali eti mimi sina ubinadmu na mambo mengi mabaya nikasema tatizo siyo huyo...
Yule binti hana udogo hadi useme wa kubakwa binti anajua na kuvaa vimini na anatembea uchi leo useme a me Ba kwa? Flora aliweka mtego wakimaliza kubanjua adai kabakwa mbna huyo flora kabanduliwa na watu kibao akiwemo mzee wa hummer na emanuel akiwa anafahamu?mbna ema kavumilia yote hayo
Ndicho hicho ninachojiuliza kama alikuwa na namna si angeachana nae tu akiwa huru? Mbna anatutia aibu HIV ?ni mangapi tunayokutana nayo kwenye ndoa makubwa na yanaisha?
Tumuombee emanuel Mungu amtetee
Ni muda sijaingia humu ni imani mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa
sijui niseme ni umbea au nn coz hata mm ninayo yangu lakini siyasemi
Ishu ya ndoa ya flora mbasha na mumewe kudaiwa kubaka imenigusa sana kwa kuwa na mm ni mjukuu wa askofu labda
Kama kuna yyte mwenye ukaribu na flora...
Habar zenu hopE mko good,
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!
Basi tukapanga kuonana ye anakaa mbali...
Hii meseji aliyonitumia sasa hivi sijamuuliza chochote
( Dada naomba nisamehe najua nimekuhudhi kwa namna moja ama nyingine xo sina budi kukuomba radhi kwan mm x mkamilifu nisamehe yote yaliyo tokea na tusiwekeane kinyongo kwan haya ni maisha tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.